Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 6:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Wakaingia ndani ya chombo, wakaanza kuvuka ziwa kwa kwenda Kapernaumu. Giza lilikuwa limekwisha kuwa, na Yesu alikuwa hajarudi kukutanana nao.

Gade chapit la Kopi




Yoane 6:17
6 Referans Kwoze  

Pale pale Yesu akawalazimisha wanafunzi wake waingie ndani ya chombo na kumutangulia ngambo ingine ya ziwa la Galilaya kuelekea muji Betesaida. Kwa wakati ule alibaki akiaga lile kundi la watu.


Basi Yesu akarudi tena Galilaya katika muji Kana, pahali alipogeuza maji kuwa divai. Kule kulikuwa mukubwa mumoja wa serikali, aliyekuwa na mwana mugonjwa katika muji Kapernaumu.


Nyuma ya maneno yale, akaenda Kapernaumu pamoja na mama yake, wandugu zake na wanafunzi wake. Nao wakakaa kule siku chache.


Ziwa likaanza kuchafuka sana; kwa sababu upepo ulikuwa ukivuma kwa nguvu.


Yesu alisema maneno haya wakati alipokuwa akifundisha katika nyumba ya kuabudia kule Kapernaumu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite