16 Ilipokuwa magaribi, wanafunzi wake wakashuka kwenda kwenye ziwa.
Yesu alialikwa vilevile kwenye ndoa ile pamoja na wanafunzi wake.
Wakaingia ndani ya chombo, wakaanza kuvuka ziwa kwa kwenda Kapernaumu. Giza lilikuwa limekwisha kuwa, na Yesu alikuwa hajarudi kukutanana nao.
Giza lilipoingia, chombo kilikuwa katikati ya ziwa, na Yesu alikuwa peke yake inchi kavu.