Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 5:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Wakati Yesu alipomwona akilala na kutambua kwamba amekuwa mugonjwa kwa muda wa siku nyingi, akamwuliza: “Unataka kupona?”

Gade chapit la Kopi




Yoane 5:6
9 Referans Kwoze  

Kwa maana tuko na Kuhani Mukubwa asiyekosa kujua mwenyewe uzaifu wetu. Maana yeye alijaribiwa katika njia zote sawasawa na sisi, lakini hakufanya zambi.


“Unataka nikufanyie nini?” Akamujibu: “Bwana, ninataka nipate kuona.”


Hakuna kitu kinachoweza kufichwa mbele ya Mungu, lakini vitu vyote vinafunuliwa na viko wazi mbele ya macho yake, yeye tutakayemutolea hesabu ya maneno yetu.


Kisha Yesu akamwuliza mara ya tatu: “Simoni mwana wa Yoane, unanipenda?” Basi Petro akauzika kwa sababu Yesu alimwuliza mara ya tatu kama anamupenda. Kwa hiyo akamujibu: “Bwana, unajua yote; unajua kama ninakupenda!” Yesu akamwambia: “Tunza kondoo wangu.


Yawe anasema; Nilikuwa tayari kujionyesha kwao wasiouliza habari zangu. Nilikuwa tayari kuwapokea wale wasionitafuta. Nililiambia taifa ambalo halikuomba kwa jina langu: Niko hapa! Niko hapa!


Ninamutolea malalamiko yangu, ninamwelezea taabu zangu.


Nimeyaona machukizo yako: nimeona uzinzi wako na utongozaji wako, na uasherati wako usiousikilia haya, unaoufanya juu ya milima na katika mashamba. Ole kwako wewe Yerusalema! Mpaka wakati gani utabaki bila kutakaswa?


Pale kulikuwa mutu mumoja aliyekuwa mugonjwa tangia miaka makumi tatu na minane.


Yule mugonjwa akamujibu: “Bwana, sina mutu wa kuniingiza katika kisima wakati maji yanapotikiswa, nami ninapojaribu kuingia ndani ya maji, mutu mwingine anaingia mbele yangu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite