Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 5:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 “Mimi sipokei sifa kutoka kwa watu.

Gade chapit la Kopi




Yoane 5:41
12 Referans Kwoze  

Mutu anayesema kwa mamlaka yake mwenyewe, anajitafutia sifa yake mwenyewe. Lakini yeye anayetafuta sifa ya yule aliyemutuma, huyu ni mwenye ukweli wala hana ubaya wowote.


Hatukutafuta sifa ya watu wala yenu, wala ya mutu mwingine yeyote,


Mimi sijitafutii sifa yangu mwenyewe, lakini kuna mumoja anayeitafuta kwa ajili yangu, naye ndiye mwenye uwezo wa kuhukumu.


Kweli mimi sihitaji kushuhudiwa na mutu, lakini ninasema maneno haya kusudi mupate kuokolewa.


Yesu akajibu: “Kama nikijitafutia sifa yangu mwenyewe, sifa ile haina maana. Baba yangu ndiye anayenisifu, yule munayejidai kwamba ni Mungu wenu!


Wakati Yesu alipotambua kama walitaka kuja kumutwaa kwa nguvu na kumuweka kuwa mufalme, akaondoka na kwenda tena kwa kilima peke yake.


Basi namna gani mutaweza kuamini, ninyi munaopokea sifa kutoka wamoja kwa wengine, lakini hamutafuti sifa inayotoka kwake anayekuwa Mungu peke yake?


Maana alipokea heshima na utukufu toka kwa Mungu Baba, wakati sauti yenye utukufu mukubwa toka kwa Mungu ilipomufikia ikisema: “Huyu ni Mwana wangu mupendwa, ninapendezwa naye sana!”


Ni kwa ajili ya shabaha hiyo Mungu aliwaita kumufuata, kwa sababu Kristo vilevile aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachia mufano, kusudi mufuate njia yake.


lakini ninyi hamutaki kuja kwangu mupate uzima.


Lakini ninawajua ninyi kwamba hamumupendi Mungu.


Wao walipenda kusifiwa na watu kuliko kupata sifa inayotoka kwa Mungu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite