Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 4:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 (Wakati ule wanafunzi wake walikuwa wamekwenda katika muji kununua vyakula.)

Gade chapit la Kopi




Yoane 4:8
7 Referans Kwoze  

Wasamaria wengi wa muji ule walimwamini Yesu kwa sababu ya maneno ya yule mwanamuke aliposhuhudia hivi: “Aliniambia mambo yote niliyotenda.”


Akafika karibu na muji mumoja wa Samaria unaoitwa Sikari, uliokuwa karibu na shamba lile Yakobo alilomupa mwana wake Yosefu.


Lakini Yesu akawajibu: “Ninyi wenyewe muwape chakula!” Nao wakajibu: “Sisi tuko tu na mikate mitano na samaki mbili. Unataka sisi wenyewe tuende kuwanunulia watu hawa wote chakula?”


Yesu alialikwa vilevile kwenye ndoa ile pamoja na wanafunzi wake.


Halafu mwanamuke mumoja Musamaria akakuja kuteka maji. Na Yesu akamwambia: “Unipe maji ya kunywa.”


Saa ile ile wanafunzi wa Yesu wakarudi, nao wakashangaa kumwona akisemezana na mwanamuke. Lakini hakuna mumoja wao aliyemwuliza yule mwanamuke kwamba anataka nini au kumwuliza Yesu kwamba sababu gani anasema naye.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite