Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 4:43 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

43 Siku mbili zilipopita, Yesu akaondoka kule, akaenda Galilaya.

Gade chapit la Kopi




Yoane 4:43
8 Referans Kwoze  

Kwa maana ninawaambia wazi kwamba Kristo alifanya utumishi kwa ajili ya Wayuda kwa kuhakikisha kuwa Mungu ni mwaminifu na kusudi atimize ahadi zile babu zetu walizopewa.


Na Wasamaria walipomufikia Yesu, walimusihi akae pamoja nao, naye akakaa kule muda wa siku mbili.


Yeye akatoka Nazareti, akaenda kukaa Kapernaumu, pembeni ya ziwa la Galilaya, katika wilaya ya Zebuluni na ya Nafutali, kusudi yatimie


Basi Yesu akarudi tena Galilaya katika muji Kana, pahali alipogeuza maji kuwa divai. Kule kulikuwa mukubwa mumoja wa serikali, aliyekuwa na mwana mugonjwa katika muji Kapernaumu.


Kisha akamupeleka Simoni kwa Yesu. Yesu akamwangalia, akasema: “Wewe ndiwe Simoni mwana wa Yoane, sasa utaitwa Kefa.” (Jina “Kefa” ni sawasawa na “Petro” na maana yake ni “Jiwe.”)


Yesu mwenyewe alikuwa ameshuhudia kwamba nabii haheshimiwi katika inchi yake mwenyewe,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite