Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 4:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Kwa maana neno hili ni kweli: ‘Mutu mumoja anapanda na mwingine anavuna.’

Gade chapit la Kopi




Yoane 4:37
7 Referans Kwoze  

Mutapanda mbegu, lakini hamutavuna. Mutakamua mafuta ya zeituni, lakini hamutatumia mafuta hayo. Mutakamua zabibu, lakini hamutakunywa divai hiyo.


basi nipande na mwingine akule, mazao yangu ya shamba yaongolewe.


kwa maana nilikuogopa kwa maana wewe ni mutu mugumu. Unatafutia nafasi usipowekea na kuvuna nafasi usipopanda.’


Kila mara Waisraeli walipopanda mbegu katika mashamba, Wamidiani, Waamaleki na watu wengine wa kule upande wa mashariki walikuja kuwashambulia.


Muvunaji anakwisha kupokea mushahara, naye anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele, kusudi mupandaji na muvunaji wafurahi pamoja.


Mimi niliwatuma ninyi katika shamba kuvuna mavuno ambayo hamukusumbukia; wengine waliyasumbukia, nanyi mumepata faida ya kazi yao.”


Kweli, kweli ninawaambia: yeye anayeniamini atafanya vilevile matendo ninayofanya. Na zaidi ya ile atafanya matendo makubwa kuliko haya, kwa sababu ninakwenda kwa Baba.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite