33 Basi wanafunzi wakaanza kuulizana: “Kuna mutu aliyemuletea chakula?”
Lakini wao hawakufahamu maana ya maneno hayo, kwa sababu yalikuwa yamefichwa kwao, kusudi wasipate kuyatambua. Nao waliogopa kumwuliza maana yake.
Kulipokucha, akawaita wanafunzi wake, na kuchagua hawa kumi na wawili katikati yao, akawapanga jina la mitume:
Andrea, ndugu ya Simoni Petro, alikuwa mumoja wa wale wawili waliosikia maneno ya Yoane na kumufuata Yesu.
Yesu alialikwa vilevile kwenye ndoa ile pamoja na wanafunzi wake.
Lakini akawajibu: “Mimi nina chakula musichokijua.”