Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 4:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Lakini akawajibu: “Mimi nina chakula musichokijua.”

Gade chapit la Kopi




Yoane 4:32
13 Referans Kwoze  

Sijaacha hata kidogo kushika amri yake; maneno yake nimeyatunza ndani ya moyo wangu.


Yesu akawaambia: “Chakula changu ni kufanya mapenzi ya yule aliyenituma na kutimiza kazi yake.


Maagizo yako ni matamu sana kwangu; ni matamu kuliko asali!


Palepale maneno yako yaliponifikia, niliyameza; nayo yakanifurahisha, yakakuwa matamu katika moyo wangu, maana mimi ninajulikana kwa jina lako, ee Yawe wa majeshi.


Maneno ya mutu yanaweza kumushibisha; anatosheka kwa matokeo ya maneno yake.


Moyo unajua uchungu wake wenyewe, wala mugeni hawezi kushiriki furaha yake.


Nitakushukuru maisha yangu yote, nitakuomba nikikuinulia mikono yangu.


Yawe ni rafiki ya wale wanaomwabudu; yeye anawajulisha agano lake.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda, nitamupa ile mana iliyofichwa. Na nitamupa vilevile jiwe dogo jeupe, na juu yake kumeandikwa jina jipya ambalo hakuna mutu yeyote anayelijua, isipokuwa tu yule anayelipewa.


Katika mambo hayo yote niliyofanya, nimewaonyesha mufano kwamba tunapaswa kusumbuka vile na kazi kwa kuwasaidia wasiojiweza, tukikumbuka maneno haya Bwana Yesu mwenyewe aliyosema: ‘Ni heri kutoa kuliko kupewa.’ ”


Mungu anasema: Kisha kutaabika sana, mutumishi wangu atafurahi. Kwa njia ya kujulikana kwa huyo mutumishi wangu wa haki, atawafanya wengi wakuwe wenye haki, naye atazibeba zambi zao.


Wakati ule wanafunzi wa Yesu walimusihi, wakisema: “Mwalimu, kula chakula.”


Basi wanafunzi wakaanza kuulizana: “Kuna mutu aliyemuletea chakula?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite