Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 4:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 “Mukuje mumwone mutu aliyeniambia maneno yote niliyotenda. Huyu si Kristo?”

Gade chapit la Kopi




Yoane 4:29
12 Referans Kwoze  

Roho na Bibi arusi wanasema: “Kuja!” Naye mwenye kusikia maneno haya aseme vilevile: “Kuja!” Yule anayesikia kiu akuje, na yule anayetaka maji ya uzima akuje kuyapokea kwa bure.


Mwanamuke yule akamwambia: “Ninajua kwamba Masiya anayeitwa Kristo, atakuja. Na wakati atakapokuja atatuelezea maneno yote.”


Watu wengi katika kundi lililokuwa pale wakamwamini, wakisema: “Kristo atakapokuja, ataonyesha vitambulisho zaidi kuliko mutu huyu?”


Angalia, anasema waziwazi wala hawamwambii neno! Labda wakubwa nao wametambua kweli kuwa huyu ndiye Kristo.


Na kundi lote la watu waliokuwa pale wakashangaa na kusema: “Huyu anaweza kuwa kweli Mwana wa Daudi?”


Basi mwanamuke yule akaacha mutungi wake wa maji pale, akarudi katika muji na kuwaambia watu:


Basi wakatoka katika muji na kumwendea Yesu.


Wasamaria wengi wa muji ule walimwamini Yesu kwa sababu ya maneno ya yule mwanamuke aliposhuhudia hivi: “Aliniambia mambo yote niliyotenda.”


Samweli akamujibu: “Mimi ndiye mwonaji. Munitangulie kwenda kwenye nafasi ya kuabudia maana leo mutakula pamoja nami. Kesho asubui maulizo yote unayokuwa nayo nitayajibu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite