Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 4:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Basi mwanamuke yule akaacha mutungi wake wa maji pale, akarudi katika muji na kuwaambia watu:

Gade chapit la Kopi




Yoane 4:28
8 Referans Kwoze  

Halafu mwanamuke mumoja Musamaria akakuja kuteka maji. Na Yesu akamwambia: “Unipe maji ya kunywa.”


Wakaondoka saa ile ile, na kurudia Yerusalema. Kule wakakuta wale mitume kumi na mumoja wamekusanyika pamoja na watu wengine wa kundi lao.


Waliporudia toka kwenye kaburi, wakapasha habari ile kwa wanafunzi kumi na mumoja na kwa wafuasi wengine wote wa Yesu.


Basi wale wanawake wakaondoka upesi kutoka kwenye kaburi, wakijazwa na woga na furaha kubwa vilevile. Wakakimbia kwenda kuwapasha wanafunzi wake habari ile.


Saa ile ile wanafunzi wa Yesu wakarudi, nao wakashangaa kumwona akisemezana na mwanamuke. Lakini hakuna mumoja wao aliyemwuliza yule mwanamuke kwamba anataka nini au kumwuliza Yesu kwamba sababu gani anasema naye.


“Mukuje mumwone mutu aliyeniambia maneno yote niliyotenda. Huyu si Kristo?”


Namani alipopata habari hii, akaenda kwa mufalme na kumwelezea habari za mutoto yule.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite