Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 4:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 (Hakika Yesu mwenyewe hakubatiza mutu lakini ni wanafunzi wake.)

Gade chapit la Kopi




Yoane 4:2
5 Referans Kwoze  

Basi akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Na kisha wakamusihi Petro akae kule kwao kwa siku chache.


Yesu alialikwa vilevile kwenye ndoa ile pamoja na wanafunzi wake.


Kisha mambo hayo, Yesu na wanafunzi wake wakaenda Yudea. Akabaki kule pamoja nao na kubatiza.


Basi wakamwendea Yoane na kumwambia: “Mwalimu, unakumbuka yule mutu aliyekuwa pamoja nawe ngambo ya Yordani, yule uliyemushuhudia? Angalia sasa, yeye anabatiza, na watu wote wanamufikia!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite