Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 4:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 kwa maana ulikuwa na wanaume watano, na yule unayeishi naye sasa si mume wako. Hivi unasema ukweli.”

Gade chapit la Kopi




Yoane 4:18
16 Referans Kwoze  

Lakini kama muke asiyekuwa mwaminifu anavyomwacha mume wake, ndivyo ulivyokosa uaminifu kwangu. –Ni ujumbe wa Yawe.


Vile vile, kila muke anayemwacha mume wake na kuolewa na mwingine, anazini.”


Basi kama akiolewa na mutu mwingine wakati mume wake angali muzima, atahesabiwa kuwa muzinzi. Lakini kama mume wake akikufa, yeye anakuwa huru toka Sheria ile iliyomufunga na hata akiolewa na mutu mwingine hatahesabiwa kuwa muzinzi.


Ulikuwa kama muke muzinzi anayekaribisha wageni pahali pa mume wake.


Zaidi ya hayo, nimemupata Ruta wa Moabu mujane wa Malona, kusudi akuwe muke wangu. Mapatano haya yatafanya mali ya jamaa ya marehemu na ukoo wake kubakia kwa watu wake katika muji huu. Ninyi ni washuhuda.”


Basi, hii ndiyo sheria kuelekea maneno ya wivu kama mwanamuke akiwa chini ya mamlaka ya mume wake, anapotoka na kujichafua,


Hao wandugu wawili wakajibu: “Ana haki gani ya kumutendea dada yetu kama kahaba?”


Basi, Sekemu mwana wa Hamori Muhivi, aliyekuwa mukubwa wa inchi hiyo, alipomwona Dina, akamushika, akalala naye kwa nguvu.


Lakini Mungu akamufikia Abimeleki katika ndoto usiku, akamwambia: “Wewe utakufa kwa sababu ya mwanamuke uliyemutwaa, maana yuko na mume wake.”


Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote, mume na muke wake wanapaswa kujikinga na uchafu, kwa sababu Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati.


Yule mwanamuke akamujibu: “Sina mume.” Na Yesu akamwambia: “Unasema kweli kwamba hauna mume;


Halafu mwanamuke yule akamwambia: “Bwana, ninaona kama wewe ni nabii.


Sasa basi, ewe kahaba, usikilize neno la Yawe.


Yesu akamwambia: “Uende kumwita mume wako na urudi naye hapa.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite