Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 20:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Watu wote mutakaowasamehe zambi, watasamehewa; nao wote musiowasamehe, hawatasamehewa.”

Gade chapit la Kopi




Yoane 20:23
11 Referans Kwoze  

“Hivi, kweli ninawaambia: chochote mutakachokikataza katika dunia kitakatazwa mbinguni vilevile, na chochote mutakachokiruhusu katika dunia, kitaruhusiwa mbinguni vilevile.


Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni; chochote utakachokikataza katika dunia, kitakatazwa mbinguni vilevile, na chochote utakachokiruhusu katika dunia, kitaruhusiwa mbinguni vilevile.”


Kati yao kuna Himeneo na Alesanduro, ambao nimemwachia Shetani kusudi wasimutukane Mungu tena.


Manabii wote wanamushuhudia Yesu kwamba kila mutu anayemwamini atasamehewa zambi zake kwa uwezo wa jina lake.”


Petro akawajibu: “Mugeuke toka katika zambi zenu, na kila mumoja wenu abatizwe kwa jina la Yesu Kristo, na Mungu atawasamehe zambi zenu. Hivi mutapokea zawadi ya Roho Mutakatifu.


Ninyi vilevile ni kama jengo linalosimama juu ya musingi uliowekwa na mitume na manabii; Yesu Kristo mwenyewe ndiye jiwe kubwa la pembe.


Alipokwisha kusema maneno haya, akawapulizia pumzi na kuwaambia: “Mupokee Roho Mutakatifu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite