Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 2:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Halafu mama yake akawaambia watumishi: “Mufanye kila kitu atakachowaambia.”

Gade chapit la Kopi




Yoane 2:5
12 Referans Kwoze  

Noa akafanya yote kama vile Mungu alivyomwamuru.


Ninyi ni warafiki zangu, kama mukifanya sawa ninavyowaagiza.


Kwa njia ya imani, Abrahamu alitii wakati Mungu alipomwita na kwenda katika inchi ile Mungu aliyoahidi kumupatia kuwa urizi wake. Akaacha inchi yake pasipo kujua pahali anapokwenda.


Na alipokwisha kufanywa kuwa mukamilifu, akawaongoza watu wote wanaomutii wapate kuokolewa kwa milele.


Lakini simama, uingie katika muji, na mule watakuambia jambo unalopaswa kufanya.”


asionje mazao yoyote ya muzabibu, wala asikunywe divai au kileo wala kula chochote kinachohesabiwa kuwa kichafu. Yote niliyomwamuru, ayafuate.”


Wakati wanainchi wa Misri walipoanza kuona njaa, wakamulilia mufalme awape chakula. Naye akawaambia Wamisri wote: “Mwende kwa Yosefu; mufanye neno lolote atakalowaambia.”


Yesu alipokuwa hajamaliza kusema na lile kundi la watu, mama yake na wandugu zake wakafika. Walisimama inje wakitaka kusemezana naye.


Kwa hiyo, Ruta akakwenda kule katika kiwanja cha kupepetea, akafanya jinsi mama mukwe wake alivyomwamuru.


Basi, nikafanya kama nilivyoamriwa. Siku hiyo, wakati wa muchana, nikafunga muzigo wangu kama muzigo wa mutu anayekimbia. Magaribi nikatoboa ukuta na giza lilipokuwa likiingia, nikatoka, nikibeba muzigo wangu juu ya mabega, watu wote wakiniona.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite