Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 2:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Wayuda wakamwambia: “Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka makumi ine na sita, nawe utalijenga tena katika siku tatu?”

Gade chapit la Kopi




Yoane 2:20
6 Referans Kwoze  

Kisha Sesebasari akakuja na kuweka musingi wa nyumba ya Mungu katika Yerusalema, na tangu wakati huo ujenzi umekuwa ukiendelea mpaka sasa, lakini bado haujamalizika.


Huu ndio ushuhuda wa Yoane kwa makuhani na Walawi waliotumwa na Wayuda kutoka Yerusalema kumwuliza kwamba yeye ni nani.


Alizikwa na kufufuliwa kwa siku ya tatu kisha kufa kwake kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema.


Na katika mwezi wa Buli, ni kusema mwezi wa nane, katika mwaka wa kumi na mumoja, ujenzi wa nyumba ulimalizika, na kazi ilikuwa imekamilika kama ilivyopangwa. Solomono alitumia miaka saba kwa kujenga.


Yesu akatoka ndani ya hekalu, na alipokuwa akienda, wanafunzi wake wakamufikia na kumwonyesha majengo ya hekalu.


Wamoja kati ya wanafunzi wa Yesu walikuwa wakizungumuza juu ya hekalu, wakisema juu ya majengo yake mazuri ya mawe na juu ya vitu vingine vizuri watu walivyovitoa sadaka kwa Mungu. Lakini Yesu akasema:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite