Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 2:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Basi akasokota kamba kuwa fimbo na kuwafukuza wote toka hekalu pamoja na kondoo na ngombe wao. Kisha akapindua meza za wenye kubadilisha feza na kuzimwanga chini.

Gade chapit la Kopi




Yoane 2:15
7 Referans Kwoze  

Silaha tunazotumia katika vita si za kimwili, lakini silaha zetu ni uwezo wa Mungu unaoweza kuharibu upango wa adui. Tunaharibu mawazo ya uongo na


Yesu alipowaambia: “Ni mimi,” wakarudi nyuma na kuanguka.


Yule malaika akaniambia vilevile niseme neno hili la Yawe juu ya Zerubabeli: Hauwezi kushinda kwa nguvu au kwa uwezo wako mwenyewe, lakini kwa musaada wa roho wangu. –Ni Yawe wa majeshi anayesema.


Yesu akaingia ndani ya hekalu, naye akawafukuza watu wote waliokuwa wakiuzishia na kununulia vitu vyao ndani yake. Akapindua meza za wale waliobadilisha feza na viti vya wachuuzi wa njiwa.


Akakuta watu katika hekalu wakiuzisha ngombe, kondoo na njiwa, na wengine wenye kubadilisha feza wakiikaa kwenye meza zao.


Akawaambia wachuuzi wa njiwa: “Muondoshe vile vitu hapa. Musifanye nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara!”


Halafu waaskari wakakata kamba zilizofunga ule mutumbwi na kuachilia uanguke katika bahari.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite