Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 19:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Kulikuwa bustani pale walipomutundika Yesu, na katika bustani ile kulikuwa kaburi jipya, mulimokuwa hamujazikwa mutu.

Gade chapit la Kopi




Yoane 19:41
7 Referans Kwoze  

Alipokwisha kuishusha toka juu ya musalaba, akaifungafunga na vitambaa na kuiweka ndani ya kaburi lililochimbwa katika jiwe. (Ndani ya kaburi lile mulikuwa bado hamujazikwa mutu.)


Akaiweka ndani ya kaburi lake jipya alilojichimbia katika jiwe. Kisha akasukumia jiwe kubwa kwenye kiingilio cha lile kaburi na kujiendea.


Yesu akamwuliza: “Mama, kwa sababu gani unalia? Unamutafuta nani?” Maria akizani kwamba ni mulimaji wa bustani, akamwambia: “Bwana, kama ni wewe uliyeondoa maiti yake, uniambie pahali ulipoiweka, nami nitakwenda kuitwaa.”


Una haki gani kuwa huku? Una ndugu yeyote hapa, hata ukajichongea kaburi ndani ya jiwe juu ya mulima?


Wakubwa wake wakaibeba maiti yake katika gari na kuirudisha Yerusalema walikomuzika katika kaburi lake mwenyewe. Kisha watu wa Yuda wakamuchukua Yoahazi mwana wa Yosia, wakamupakaa mafuta na kumuweka kuwa mufalme kwa pahali pa baba yake.


Na kwa kuona siku ile ilikuwa ya matayarisho ya siku ya Sabato ya Wayuda na kaburi lilikuwa karibu, wakamuzika Yesu mule.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite