Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 19:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Waaskari walipokwisha kumutundika Yesu juu ya musalaba wakakamata nguo zake na kuzigawanya katika sehemu ine, wakimupa kila askari sehemu moja. Wakakamata vilevile kanzu yake iliyokuwa bila mushono, iliyofumwa kwa kipande kimoja tu tokea juu mpaka chini.

Gade chapit la Kopi




Yoane 19:23
6 Referans Kwoze  

Halafu Yesu akasema: “Baba uwasamehe, kwa maana hawajui jambo wanalofanya.” Waaskari wakagawanya nguo zake kwa kuzipigia kura.


Kisha wakamutundika juu ya musalaba, wakagawanyana nguo zake kwa kuzipigia kura, kusudi wajue nguo gani kila mumoja atakazopaswa kutwaa.


Nao walipokwisha kumutundika juu ya musalaba, wakagawanya nguo zake kwa kuzipigia kura.


Alipokwisha kumukamata Petro, na kumutia katika kifungo, akamuweka chini ya ulinzi wa vikundi vine vya waaskari waliogomboana wane kwa wane. Naye alikusudia kumusambisha mbele ya watu nyuma ya sikukuu ya Pasaka.


Kanzu ile itakuwa na nafasi ya kupitishia kichwa katikati na nafasi hiyo itazungushiwa utepe uliofumwa kusudi isichanike.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite