Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 19:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Siku ile ilikuwa siku ya matayarisho ya Pasaka, karibu na saa sita. Pilato akawaambia Wayuda: “Mufalme wenu huyu!”

Gade chapit la Kopi




Yoane 19:14
12 Referans Kwoze  

Kesho yake, maana yake siku iliyofuata ile ya matayarisho ya siku ya Sabato, wakubwa wa makuhani na Wafarisayo wakamwendea Pilato,


Basi Yesu akatoka inje, akivaa ile taji ya miiba na ile nguo nyekundu. Pilato akawaambia watu: “Mutu wenu huyu!”


Na kwa kuona siku ile ilikuwa ya matayarisho ya siku ya Sabato ya Wayuda na kaburi lilikuwa karibu, wakamuzika Yesu mule.


Ilikuwa saa tatu ya asubui wakati walipomutundika juu ya musalaba.


Wakafika kila wakati mbele yake na kusema: “Jambo, Mufalme wa Wayuda.” Nao wakamupiga makofi.


Siku ile ilikuwa ya matayarisho ya siku ya Sabato iliyokuwa karibu kuanza.


Ilipokwisha kuwa magaribi, Yosefu wa Arimatea, akafika kwa Pilato. (Yosefu alikuwa mutu mwenye heshima katika Baraza Kubwa, na vilevile alikuwa akitazamia kuja kwa Ufalme wa Mungu). Siku ile ilikuwa ya matayarisho ya siku ya Sabato iliyofuata. Kwa hiyo Yosefu akaenda bila woga kwa Pilato kwa kumwomba maiti ya Yesu.


Tangia saa sita ya muchana, giza lilikuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.


Ilikuwa karibu na saa sita ya muchana, jua likafifia, kukakuwa giza katika inchi yote mpaka saa tisa. Pazia la hekalu likapasuka katikati.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite