Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 18:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Mutumishi mumoja wa Kuhani Mukubwa, aliyekuwa ndugu ya mutu yule Petro aliyemukata sikio, akamwambia: “Mimi sikukuona kule katika bustani pamoja naye?”

Gade chapit la Kopi




Yoane 18:26
7 Referans Kwoze  

Simoni Petro alikuwa na upanga, akauchomoa na kumukata mutumishi wa Kuhani Mukubwa sikio la kuume. (Jina la mutumishi yule lilikuwa Malko.)


Wakati Yesu alipokwisha kusema maneno hayo, akaondoka pamoja na wanafunzi wake na kuvuka ngambo ya kijito cha Kidroni. Nao wote wakaingia katika bustani iliyokuwa kule.


Nyuma kidogo, wale waliosimama pale, wakamufikia Petro na kumwambia: “Hakika wewe ni mumoja wao, kwa maana hata usemi wako unakutambulisha.”


Ukweli unadumu milele, lakini uongo ni wa muda kidogo tu.


Nyuma kidogo mutu mwingine akamwona, na akasema: “Wewe vilevile ni mumoja wao!” Lakini Petro akamujibu mutu yule: “Mimi si mumoja wao.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite