Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 18:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Watumishi na walinzi walikuwa wamekonga moto kwa sababu wakati ule ulikuwa wa baridi, nao walisimama pale wakiota moto. Petro alisimama pale vilevile, akiota moto pamoja nao.

Gade chapit la Kopi




Yoane 18:18
16 Referans Kwoze  

Petro akamufuata Yesu kwa mbali, hata akaingia ndani ya upango wa nyumba ya Kuhani Mukubwa. Pale akaikaa pamoja na walinzi, akiota moto.


Wakati ule Simoni Petro alikuwa angali pale akiota moto. Basi wakamwuliza: “Wewe vilevile si mumoja wa wanafunzi wa mutu huyu?” Petro akakana, akisema: “Hapana! Mimi si mwanafunzi wake.”


Walipofika inchi kavu wakaona mukate na samaki zinazokuwa juu ya moto.


Alipomwona Petro akiota moto, akamwangalia, na kumwambia: “Wewe vilevile ulikuwa pamoja na Yesu wa Nazareti.”


Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.


Heri mutu asiyefuata shauri la waovu, asiyeshiriki katika njia ya wenye zambi, wala kukusanyika na wenye kuzarau;


lakini mimi sitashiriki mashauri yao mabaya. Ee roho yangu, usishiriki mikutano yao, maana, katika hasira yao, walimwua mutu, kwa mapenzi yao walikata mushipa wa ngombe.


Musidanganyike: “Warafiki wabaya wanaharibu tabia nzuri za watu.”


Petro na Yoane walipofunguliwa wakarudi kwa wenzao na kuwaelezea maneno yote wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu waliyowaambia.


Kule, akafika kwenye pango, akakaa mule. Mara moja Yawe akamutolea ujumbe: “Elia! Unafanya nini hapa?”


Yesu alikuwa katika uchungu mukubwa, akazidi kuomba kwa bidii. Jasho iliyomutoka ikakuwa kama matone ya damu yaliyokuwa yakitiririka mpaka chini.]


Yuda akatwaa kundi la waaskari pamoja na walinzi waliotumwa na wakubwa wa makuhani na Wafarisayo. Akakuja nao kwenye bustani wakibeba taa, mienge na silaha.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite