Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 18:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Yule mwanamuke akamwambia Petro: “Wewe vilevile si mumoja wa wanafunzi wa mutu huyu?” Petro akamujibu: “Hapana! Mimi si mwanafunzi wake.”

Gade chapit la Kopi




Yoane 18:17
11 Referans Kwoze  

Walipokwisha kula, Yesu akamwuliza Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yoane, unanipenda mimi kuliko hawa?” Naye akamujibu: “Ndiyo, Bwana, unajua kama ninakupenda!” Yesu akamwambia: “Tunza wana-kondoo wangu.”


Wakati ule Simoni Petro alikuwa angali pale akiota moto. Basi wakamwuliza: “Wewe vilevile si mumoja wa wanafunzi wa mutu huyu?” Petro akakana, akisema: “Hapana! Mimi si mwanafunzi wake.”


Lakini Petro alisimama inje karibu na mulango. Yule mwanafunzi mwingine, aliyejulikana na Kuhani Mukubwa, akatoka inje, akasema na mwanamuke aliyelinda mulango, naye akamwachilia Petro kuingia ndani.


Walipokwisha kumukamata, wakamupeleka katika nyumba ya Kuhani Mukubwa. Petro akamufuata Yesu kwa mbali.


Petro akamujibu: “Hata wote wakianguka, mimi sitaanguka hata kidogo.”


Petro alipiga hodi kwenye mulango wa inje, mujakazi mumoja aliyeitwa Roda akakuja kwenye mulango.


Yesu akajibu: “Nimekwisha kuwaambia kwamba ni mimi. Basi ikiwa ni mimi munayemutafuta, muwaache hawa wanaokuwa nami wajiendee.”


Wakamujibu: “Yesu wa Nazareti.” Yesu akawaambia: “Ni mimi.” Na Yuda, yule aliyekuwa amemutoa, alikuwa akisimama pale pamoja nao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite