Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 18:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Simoni Petro na mwanafunzi mwingine walimufuata Yesu. Yule mwanafunzi alikuwa akijulikana na Kuhani Mukubwa, kwa hiyo akaingia pamoja na Yesu ndani ya upango wa nyumba ya Kuhani Mukubwa.

Gade chapit la Kopi




Yoane 18:15
6 Referans Kwoze  

Walipokwisha kumukamata, wakamupeleka katika nyumba ya Kuhani Mukubwa. Petro akamufuata Yesu kwa mbali.


Petro akamufuata Yesu kwa mbali, hata akaingia ndani ya upango wa nyumba ya Kuhani Mukubwa. Pale akaikaa pamoja na walinzi, akiota moto.


Wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakakusanyika ndani ya nyumba ya Kuhani Mukubwa, aliyeitwa Kayafa,


Kisha Anasi akamutuma Yesu, akiwa amefungwa, kwa Kayafa Kuhani Mukubwa.


Na kulipokucha asubui mapema, wakamutosha Yesu kwa Kayafa na kumupeleka kwenye nyumba ya liwali. Lakini Wayuda wenyewe hawakuingia ndani ya nyumba ya liwali, kwa maana kwa njia ile wangejichafua na kutoweza kuwa tayari kula karamu ya Pasaka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite