10 Simoni Petro alikuwa na upanga, akauchomoa na kumukata mutumishi wa Kuhani Mukubwa sikio la kuume. (Jina la mutumishi yule lilikuwa Malko.)
Lakini mumoja kati ya wale waliokuwa pale, akachomoa upanga wake na kumukata mutumishi wa Kuhani Mukubwa sikio.
Mutumishi mumoja wa Kuhani Mukubwa, aliyekuwa ndugu ya mutu yule Petro aliyemukata sikio, akamwambia: “Mimi sikukuona kule katika bustani pamoja naye?”
Petro akamwambia: “Bwana, mimi niko tayari kufungwa pamoja nawe na hata kufa pamoja nawe.”
Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia kwamba usiku huu, mbele jogoo hajawika mara mbili, utakuwa umenikana mara tatu.”