Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 18:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Simoni Petro alikuwa na upanga, akauchomoa na kumukata mutumishi wa Kuhani Mukubwa sikio la kuume. (Jina la mutumishi yule lilikuwa Malko.)

Gade chapit la Kopi




Yoane 18:10
6 Referans Kwoze  

Lakini mumoja kati ya wale waliokuwa pale, akachomoa upanga wake na kumukata mutumishi wa Kuhani Mukubwa sikio.


Mutumishi mumoja wa Kuhani Mukubwa, aliyekuwa ndugu ya mutu yule Petro aliyemukata sikio, akamwambia: “Mimi sikukuona kule katika bustani pamoja naye?”


Petro akamwambia: “Bwana, mimi niko tayari kufungwa pamoja nawe na hata kufa pamoja nawe.”


Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia kwamba usiku huu, mbele jogoo hajawika mara mbili, utakuwa umenikana mara tatu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite