Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 14:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Toma akamwambia: “Bwana, hatujui pahali unapokwenda, basi namna gani tutajua njia?”

Gade chapit la Kopi




Yoane 14:5
10 Referans Kwoze  

Basi Toma, anayeitwa “Pacha,” akawaambia wanafunzi wenzake: “Nasi tuende vilevile, tukufie pamoja naye.”


Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Ee ninyi watu wa kizazi kisichoamini Mungu! Nitakaa pamoja nanyi tena mpaka wakati gani? Nitawavumilia tena mpaka wakati gani? Muniletee mutoto hapa.”


Hii ndiyo amri ninayowapa: mupendane ninyi kwa ninyi kama ninavyowapenda.


Basi Yesu akawaambia: “Enyi wajinga na wenye mioyo mizito kwa kuamini maneno yote manabii waliyosema!


kisha Filipo na Bartolomayo, Toma na Matayo aliyekuwa mulipishaji wa kodi; Yakobo mwana wa Alfayo, na Tadeo;


Munajua njia ya kufika pahali ninapokwenda.”


Sasa ninarudi kwake yule aliyenituma na hakuna mumoja wenu anayeniuliza kwamba ninaenda wapi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite