Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 14:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Kama mukiomba kitu chochote kwa jina langu, nitakifanya.

Gade chapit la Kopi




Yoane 14:14
6 Referans Kwoze  

Ninyi hamukunichagua mimi, lakini ni mimi niliyewachagua ninyi. Nami nimewatuma muende kuzaa matunda yasiyokuwa na mwisho. Kwa hiyo Baba atawapa chochote munachoomba kwa jina langu.


“Siku ile itakapotimia, ninyi hamutaniuliza juu ya kitu fulani. Kweli, kweli ninawaambia: Baba atawapa chochote mutakachomwomba kwa jina langu.


Mpaka sasa hamujaomba kitu kwa jina langu. Muombe, nanyi mutapewa, na furaha yenu itakuwa kubwa kabisa.


Nami nitafanya chochote mutakachoomba kwa jina langu, kusudi Baba atukuzwe kwa njia ya Mwana.


Nami nitamwomba Baba awape musaidizi mwingine kwa kukaa nanyi milele;


Ninamushukuru Mungu wangu siku zote kwa ajili yenu, kwa sababu ya neema Mungu aliyowapa ninyi kwa njia ya Yesu Kristo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite