Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 13:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Wakati Yuda alipokwisha kukamata kile kipande cha mukate, mara moja akatoka inje. Usiku ulikuwa umeingia.

Gade chapit la Kopi




Yoane 13:30
6 Referans Kwoze  

Muko mbio kutenda maovu, muko wepesi kumwanga damu isiyokuwa na kosa. Mawazo yenu ni mawazo ya uovu, popote munapokwenda munaacha ukiwa na uharibifu.


Wao ni wepesi kwa kumwanga damu.


Siku zote nilipokuwa pamoja nanyi katika hekalu, ninyi hamukunikamata. Lakini hii ni saa yenu; saa ya utawala wa bwana wa giza.”


Waovu hawalali hata kidogo wasipotenda uovu; hawapati usingizi wasipomukwaza mutu.


Yesu akajibu: “Nitachovya kipande cha mukate. Yule nitakayemupa kipande kile ndiye yeye.” Basi Yesu akachovya kipande cha mukate na kumupa Yuda mwana wa Simoni Iskariota.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite