26 Yesu akajibu: “Nitachovya kipande cha mukate. Yule nitakayemupa kipande kile ndiye yeye.” Basi Yesu akachovya kipande cha mukate na kumupa Yuda mwana wa Simoni Iskariota.
Yesu akajibu: “Yule aliyechovya mukate pamoja nami ndani ya sahani ndiye atanitoa.
“Lakini muangalie: yule anayenitoa anachangia chakula pamoja nami.
Wakati Yuda alipokwisha kukamata kile kipande cha mukate, mara moja akatoka inje. Usiku ulikuwa umeingia.
Simoni wa kundi la Wazeloti, na Yuda Iskariota aliyemutoa Yesu.
Halafu mumoja wa wanafunzi kumi na wawili, aliyeitwa Yuda Iskariota, akaenda kwa wakubwa wa makuhani