Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 13:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Basi Simoni Petro akamukonyezea yule mwanafunzi jicho kusudi amwulize Yesu ni nani anayemusema.

Gade chapit la Kopi




Yoane 13:24
7 Referans Kwoze  

Yule mukubwa wa kundi la waaskari akamuruhusu. Basi Paulo akasimama juu ya ngazi, akainua mukono kwa kuwaalika watu wanyamaze. Na watu waliponyamaza kabisa, Paulo akawaambia maneno haya katika luga ya Kiebrania:


Basi Paulo akasimama, akainua mukono kwa kuwaalika wanyamaze. Akasema: “Munisikilize ninyi wanainchi wenzangu Waisraeli, nanyi watu wa mataifa mengine munaomwogopa Mungu!


Naye akawanyamazisha kwa kunyoosha mukono, kuwaelezea namna Bwana alivyomwondoa katika kifungo. Akawaambia tena: “Muwaelezee Yakobo na wandugu wengine waamini habari hizi.” Kisha Petro akaondoka na kwenda nafasi ingine.


Halafu wakawafanyia wale wenzao waliokuwa ndani ya chombo kingine alama kwa mikono, kusudi wakuje kuwasaidia. Wakakuja, wakajaza vyombo vyote viwili na samaki wengi, hata vyombo vikaanza kuzama.


Alipotoka inje, hakuweza kusema nao, na watu wakatambua kwamba amepata maono ndani ya hekalu. Lakini alikuwa akifanya alama kwa mikono, kwa sababu alibaki bubu.


Na kulikuwa mumoja wa wanafunzi ambaye Yesu alimupenda, na aliyekuwa akimwegamia Yesu pale kwenye chakula.


Halafu yule mwanafunzi akamwegamia Yesu na kumwuliza: “Bwana, ni nani?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite