Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 13:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Wanafunzi wakaangaliana, kwa maana hawakujua ni nani Yesu aliyemusema.

Gade chapit la Kopi




Yoane 13:22
9 Referans Kwoze  

Basi wakaanza kuulizana wao kwa wao ni nani kati yao atakayefanya jambo lile.


Wanafunzi wakaanza kuhuzunika na kumwuliza mumoja kwa mumoja: “Ni mimi?”


Wanafunzi wakahuzunika sana na kuanza kumwuliza mumoja kwa mumoja: “Bwana, ni mimi?”


Yakobo alipopata habari kwamba kulikuwa ngano kule Misri, akawaambia wana wake: “Mbona munaikaa mukiangaliana tu?


Nao walipokuwa wakikula, akasema: “Kweli ninawaambia: mumoja kati yenu atanitoa.”


Walipokuwa wameikaa kula chakula, Yesu akasema: “Kweli ninawaambia: mumoja kati yenu anayekula pamoja nami atanitoa.”


“Lakini muangalie: yule anayenitoa anachangia chakula pamoja nami.


“Sisemi juu ya ninyi wote; ninawajua wale niliowachagua. Lakini inafaa maneno haya yanayosemwa na Maandiko Matakatifu yatimie: ‘Yule aliyechangia chakula nami, amenigeuka.’


Yesu alipokwisha kusema maneno hayo, akafazaika na kusema: “Kweli, kweli ninawaambia, mumoja wenu atanitoa.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite