Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 13:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Yesu alipokwisha kuwanawisha miguu, akavaa tena kanzu yake na kurudi kukaa kwenye chakula. Naye akawauliza: “Munaelewa jambo nililowafanyia?

Gade chapit la Kopi




Yoane 13:12
7 Referans Kwoze  

Yesu akamujibu: “Sasa hauelewi jambo ninalofanya, lakini utalielewa nyuma.”


Basi Yesu akaondoka kwenye chakula, akavua kanzu yake, akajifunga kitambaa katika kiuno.


Naye Ezekieli atakuwa kitambulisho kwenu: mutafanya kila kitu kama vile alivyotenda. Wakati mambo hayo yatakapotukia, mutatambua kwamba mimi ni Bwana wenu Yawe.


Yesu akawauliza watu: “Mumeelewa maneno hayo yote?” Nao wakamujibu: “Ndiyo.”


Watu wakaniuliza hivi: Jambo hili unalofanya lina maana gani?


Yesu akaongeza kuwaambia: “Kama musipoelewa mufano huu, namna gani mutaelewa mifano mingine?


Kwa maana, ni nani anayekuwa mukubwa; yule anayeikaa kwa kula chakula au yule anayemushugulikia? Hakika ni yule anayeikaa kwa kula chakula. Ingawa vile mimi niko hapa katikati yenu kama mwenye kushugulika!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite