Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 13:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 (Yesu alijua yule atakayemutoa; ndiyo maana alisema: “Ninyi wote si safi.”)

Gade chapit la Kopi




Yoane 13:11
9 Referans Kwoze  

Yesu akajibu: “Nitachovya kipande cha mukate. Yule nitakayemupa kipande kile ndiye yeye.” Basi Yesu akachovya kipande cha mukate na kumupa Yuda mwana wa Simoni Iskariota.


Yesu alipokwisha kusema maneno hayo, akafazaika na kusema: “Kweli, kweli ninawaambia, mumoja wenu atanitoa.”


“Sisemi juu ya ninyi wote; ninawajua wale niliowachagua. Lakini inafaa maneno haya yanayosemwa na Maandiko Matakatifu yatimie: ‘Yule aliyechangia chakula nami, amenigeuka.’


Wakati Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakikula chakula cha magaribi, Shetani alikuwa amekwisha kumushawishi Yuda mwana wa Simoni Iskariota kwamba amutoe Yesu.


Naye hakuhitaji kupewa ushuhuda juu ya mutu yeyote, kwa maana yeye mwenyewe alijua yanayokuwa ndani ya mioyo ya watu.


Wakati nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda kwa uwezo wa jina lako, ndilo lile jina ulilonipa. Nimewachunga wala hakuna mumoja wao aliyepotea, isipokuwa yule anayepaswa kupotea, kusudi Maandiko Matakatifu yatimizwe.


Basi Yesu akiwa mwenye kujua maneno yote yatakayomupata, akawaendea na kuwauliza: “Munamutafuta nani?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite