Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 12:44 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

44 Halafu Yesu akasema hivi kwa sauti: “Anayeniamini haniamini mimi tu, lakini anamwamini vilevile yule aliyenituma.

Gade chapit la Kopi




Yoane 12:44
11 Referans Kwoze  

“Mutu anayewapokea ninyi, ananipokea mimi; naye anayenipokea, anamupokea yule aliyenituma.


Kweli, kweli ninawaambia: mutu anayemupokea yule ninayemutuma, ananipokea mimi vilevile; na mutu anayenipokea, anamupokea yule aliyenituma.”


“Kweli, kweli ninawaambia: anayesikia neno langu na kumwamini yule aliyenituma, anapata uzima wa milele. Yeye hatahukumiwa, lakini ameponyoka lufu na kupata uzima.


“Anayemupokea mutoto mudogo kama huyu kwa ajili yangu, ananipokea mimi. Na anayenipokea, hanipokei mimi tu, lakini anamupokea vilevile yule aliyenituma.”


Kwa njia ya Kristo, ninyi munamwamini Mungu aliyemufufua na kumupa utukufu. Na kutokana na hiyo munamwamini Mungu na kumuwekea tumaini lenu.


Basi Yesu alipokuwa akifundisha katika hekalu akasema hivi kwa sauti: “Ndiyo, ninyi munajidai kwamba munanijua na munajua pahali ninapotoka. Sikukuja kwa mamlaka yangu mwenyewe, lakini aliyenituma ni mwenye ukweli. Ninyi hamumujui,


Wakati alipokwisha kusema maneno haya, akaita kwa sauti kubwa, akisema: “Lazaro, toka inje.”


Musikilize! Hekima inaita! Akili inapiga kelele yake!


Hekima inapiga kelele katika barabara, inaita kwa sauti kubwa katika viwanja;


Yesu akamwambia: “Kwa sababu gani unasema: ‘Kama unaweza?’ Yote yanawezekana kwa yule anayeamini.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite