Yoane 12:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200234 Na lile kundi la watu wakamujibu: “Sisi tumesikia katika maandiko ya Sheria kwamba Kristo ataishi milele. Basi namna gani unaweza kusema kama Mwana wa Mutu anapaswa kunyanyuliwa juu? Na huyu Mwana wa Mutu ni nani?” Gade chapit la |