Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Yesu aliposikia kwamba Lazaro yuko mugonjwa, akabaki tena kwa muda wa siku mbili pahali alipokuwa.

Gade chapit la Kopi




Yoane 11:6
10 Referans Kwoze  

Hata hivyo, Yawe anangoja kuwasamehe, atasimama na kuwaonea huruma. Yawe ni Mungu wa haki. Heri wote wale wanaomutumainia.


Yosefu akakwenda pembeni, akaanza kulia. Alipotulia, akarudi kuzungumuza nao. Kisha akamukamata Simeoni na kumufunga mbele ya macho yao.


Kwa hiyo, Abrahamu akapaita pahali pale: “Yawe anajalia,” kama inavyosemwa hata leo: “Kwa mulima wa Yawe, watu wanajaliwa.”


Yesu aliwapenda Marta na dada yake pamoja na Lazaro.


Kisha akawaambia wanafunzi wake: “Turudi Yudea.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite