Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 11:49 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

49 Halafu mumoja kati yao, jina lake Kayafa, aliyekuwa Kuhani Mukubwa mwaka ule, akasema: “Hamujui kitu, ninyi!

Gade chapit la Kopi




Yoane 11:49
11 Referans Kwoze  

(Yeye hakusema maneno haya kutokana na mawazo yake mwenyewe; lakini kwa maana yeye ndiye aliyekuwa Kuhani Mukubwa mwaka ule, alitabiri kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa la Wayuda.


Wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakakusanyika ndani ya nyumba ya Kuhani Mukubwa, aliyeitwa Kayafa,


Kulikuwa vilevile Kuhani Mukubwa Anasi, Kayafa, Yoane, Alesanduro na watu wengine wote wa ukoo wa Kuhani Mukubwa.


nao Anasi na Kayafa walikuwa Makuhani Wakubwa. Halafu Mungu akatoa ujumbe wake kwa Yoane mwana wa Zakaria katika jangwa.


Unamwona mutu anayejiona kuwa mwenye hekima? Afazali kumutumainia mupumbafu kuliko yule.


Ingawa vile, mimi ninatangaza mambo ya hekima kwa watu waliokomaa kiroho. Lakini mambo haya si ya hekima ya kidunia, wala ya watawala wa dunia hii watakaoangamizwa.


Basi, tuseme nini juu ya wenye hekima, walimu wa Sheria, nao wafundi wa usemi siku hizi? Mungu ameonyesha wazi kwamba hekima ya dunia hii ni upumbafu!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite