Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 11:46 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

46 Lakini wengine kati yao wakawaendea Wafarisayo na kuwaambia mambo Yesu aliyofanya.

Gade chapit la Kopi




Yoane 11:46
8 Referans Kwoze  

Wakamupeleka yule mutu aliyekuwa kipofu kwa Wafarisayo.


Halafu mutu mumoja akakuja, na kuwaambia: “Wale watu muliowatia ndani ya kifungo wako katika hekalu wakiwafundisha watu.”


Ingawa vitambulisho vyote alivyoonyesha mbele yao, hawakumwamini,


Wafarisayo wakasikia maneno hayo watu waliyosemasema juu ya Yesu. Basi wakubwa wa makuhani na Wafarisayo wakatuma walinzi wao kumufunga.


Kisha wale walinzi wakarudi kwa wakubwa wa makuhani na Wafarisayo. Nao wakawauliza walinzi: “Sababu gani hamukuleta Yesu?”


Nao wakubwa wa makuhani na Wafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mutu akijua pahali Yesu alipokuwa, alete habari kusudi wapate kumufunga.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite