Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 11:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Hawa wadada wawili wakatuma habari hii kwa Yesu: “Bwana, rafiki yako mupendwa ni mugonjwa.”

Gade chapit la Kopi




Yoane 11:3
16 Referans Kwoze  

Yesu aliwapenda Marta na dada yake pamoja na Lazaro.


Mimi ninawaonya na kuwaazibu wote ninaowapenda. Basi ufanye nguvu, ugeuke toka katika zambi.


Erasto alibakia Korinto, na nilimwacha Trofimo kule Mileto kwa sababu alikuwa mugonjwa.


Na kulikuwa mumoja wa wanafunzi ambaye Yesu alimupenda, na aliyekuwa akimwegamia Yesu pale kwenye chakula.


Halafu Wayuda wamoja wakasema: “Angalia namna alivyomupenda kweli!”


Yesu alipokwisha kusema maneno haya, akaongeza kuwaambia: “Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi, lakini ninakwenda kumwamusha.”


Na juu ya waaminifu katika inchi, ninaheshimu nguvu zao.


Mungu akamwambia: “Umutwae mwana wako, Isaka, mwana wako wa pekee unayemupenda, uende mpaka inchi ya Moria, umutoe kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto juu ya mulima nitakaokuonyesha.”


Kulikuwa mutu mumoja aliyeitwa Lazaro, muzaliwa wa Betania aliyepatwa na ugonjwa. Wadada zake Maria na Marta walikaa katika kijiji kile.


Bwana alipomwona yule mama, akamusikilia huruma na kumwambia: “Usilie.”


(Huyu Maria ndiye yule aliyemupakaa Bwana marasi na kupanguza miguu yake na nywele zake, na ni Lazaro kaka yake ndiye alikuwa mugonjwa.)


Marta akamwambia Yesu: “Bwana, kama ungekuwa hapa, kaka yangu hangekufa.


Munaniita ‘Mwalimu’ na ‘Bwana,’ na munasema kweli, maana ni vile ninavyokuwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite