22 Lakini ninajua kwamba hata sasa, kitu chochote utakachomwomba Mungu, atakupa.”
Tunajua kwamba Mungu hasikilizi maombi ya wenye zambi, lakini anamusikiliza mutu yule anayemuheshimu na kufanya sawa anavyotaka.
Yesu akamwambia: “Kwa sababu gani unasema: ‘Kama unaweza?’ Yote yanawezekana kwa yule anayeamini.”
Kisha Yesu akakuja karibu nao, na kuwaambia: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na katika dunia.
Kwa maana ulimupa mamlaka juu ya watu wote, kusudi awapatie uzima wa milele wale wote uliomupa.
Baba anamupenda Mwana wake, naye ameweka vitu vyote kwa mukono wake.
Uniombe nami nitakupa mataifa kuwa urizi wako, na dunia nzima kuwa mali yako.
Yesu akamwambia: “Kaka yako atafufuka.”