Yesu alipokuwa hajamaliza kusema maneno hayo, mukubwa mumoja akafika, akapiga magoti mbele yake na kumwambia: “Binti yangu anakufa sasa hivi; lakini kuja, uweke mikono yako juu yake kusudi apate kufufuka.”
Yule mwanamuke akamwambia Elia: “Ewe mutu wa Mungu, kuna maneno gani kati yako nami? Kumbe ulikuja kwangu kwa kuzifichua zambi zangu na kusababisha kifo cha mwana wangu?”