39 Wakajaribu tena kumufunga Yesu, lakini akawaponyoka.
Basi wakatafuta kumufunga, lakini hakuna mutu aliyemukamata, kwa sababu saa yake ilikuwa haijatimia.
Kwa ajili ya hii, wakaokota mawe kwa kumutupia. Lakini Yesu akajificha na kutoka ndani ya hekalu.
Wengine katikati yao walitaka kumufunga, lakini hakuna mutu aliyemukamata.
Halafu Wayuda wakaokota tena mawe kwa kumutupia.
Wafarisayo wakaondoka pale na kwenda kufanya shauri la kumwua Yesu.