Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 10:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Kama sifanyi matendo ambayo Baba yangu ananiamuru, musiniamini.

Gade chapit la Kopi




Yoane 10:37
7 Referans Kwoze  

Kama nisingetenda kati yao matendo yasiyofanywa na mutu mwingine, wasingekuwa na zambi. Lakini sasa wameyaona lakini hata hivi wananichukia mimi pamoja na Baba yangu.


Yesu akawajibu: “Nimekwisha kuwaambia ninyi, lakini hamusadiki. Matendo ninayofanya kwa mamlaka ya Baba yananishuhudia mimi.


Hauamini kwamba mimi na baba ni mumoja, yeye ni ndani yangu na mimi ndani yake? Maneno ninayowaambia siyasemi kwa mamlaka yangu mwenyewe, lakini Baba anayekaa ndani yangu ndiye anayefanya kazi zake.


Yesu akawaambia tena: “Nimewaonyesha matendo mengi mazuri kwa uwezo wa Baba. Ni kwa sababu ya tendo gani kati ya hayo munataka kunitupia mawe?”


Kama nikijishuhudia mimi mwenyewe, ushuhuda wangu hauwezi kukubaliwa kuwa wa kweli.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite