Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 10:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Siku moja, katika nyakati za mvua kubwa, kukakuwa sikukuu ya Kukumbuka Muzinduo wa hekalu katika Yerusalema.

Gade chapit la Kopi




Yoane 10:22
6 Referans Kwoze  

Lakini wengine wakasema: “Mutu anayekuwa na pepo hawezi kusema hivi. Pepo zinaweza kuponyesha macho ya vipofu?”


Yesu alikuwa akitembea ndani ya hekalu katika baraza iliyoitwa baraza ya Solomono.


Naye Solomono alimutolea Yawe sadaka za amani: ngombe elfu makumi mbili na mbili na kondoo elfu mia moja na makumi mbili. Hivi ndivyo mufalme na watu wote wa Israeli walivyozindua nyumba ya Yawe.


Naye Solomono akamutolea ngombe elfu makumi mbili na mbili na kondoo elfu mia moja makumi mbili. Hivi ndivyo Solomono na watu wote walivyozinduwa nyumba ya Mungu.


Basi, watu wa Israeli, makuhani, Walawi na watu wengine waliokuwa wamerudi kutoka katika uhamisho wakaizindua nyumba ya Mungu kwa shangwe kubwa.


Walimu wa Sheria waliotoka Yerusalema, wakasema hivi juu ya Yesu: “Amepatwa na Belzebuli.” Na wengine wao wakasema: “Ni huyo mukubwa wa pepo ndiye anayemupa uwezo wa kufukuza pepo.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite