Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 10:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Lakini wengine wakasema: “Mutu anayekuwa na pepo hawezi kusema hivi. Pepo zinaweza kuponyesha macho ya vipofu?”

Gade chapit la Kopi




Yoane 10:21
11 Referans Kwoze  

Halafu Yawe akamwuliza: “Ni nani aliyeumba kinywa cha mutu? Ni nani anayemufanya mutu kuwa bubu au kiziwi? Aone au akuwe kipofu? Si mimi Yawe?


vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanapata kusikia, wafu wanafufuliwa na Habari Njema inahubiriwa kwa wamasikini.


Aliyefanya sikio, yeye hawezi kusikia? Aliyeumba jicho, yeye hawezi kuona?


Yesu alipokwisha kusema vile, akatema mate chini, akayavuruga pamoja na mavumbi na kufanya matope kidogo, akayapakaa kwa macho ya yule kipofu


Habari zake zikavuma katika inchi yote ya Suria. Wakamuletea watu wote walioteswa na magonjwa mbalimbali na wenye maumivu ya kila namna, wenye pepo, wenye kifafa na wenye kupooza, naye Yesu akawaponyesha.


Sikio linalosikia na jicho linaloona, vyote viwili vimefanywa na Yawe.


anawafungua vipofu macho. Yawe anawainua waliogandamizwa; anawapenda watu wa haki.


Nitakinga watu wangu na mambo yatakayowapata watu wako. Mambo hayo yatafanyika kesho.’ ”


Siku moja, katika nyakati za mvua kubwa, kukakuwa sikukuu ya Kukumbuka Muzinduo wa hekalu katika Yerusalema.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite