Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 10:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Kwa sababu ya maneno haya kukatokea tena mikorogano kati ya Wayuda.

Gade chapit la Kopi




Yoane 10:19
9 Referans Kwoze  

Wafarisayo wamoja wakasema: “Mutu huyu hakutoka kwa Mungu kwa sababu hashiki sheria ya siku ya Sabato.” Lakini wengine wakasema: “Mutu mwenye zambi anaweza kuonyesha kitambulisho kama hiki?” Basi kukatokea mikorogano kati yao.


kwa sababu mungali munatawaliwa na mambo ya kidunia. Kwa maana ikiwa kungali wivu na ugomvi katikati yenu, haionyeshi kwamba munatawaliwa na mambo ya kidunia, nanyi munaishi kufuatana na hali ya kimutu?


Watu wa muji wakatengana: wamoja walikuwa upande wa Wayuda na wengine upande wa mitume.


Kwanza, ninasikia kwamba munapokusanyika kuna matengano katikati yenu, nami ninasadiki kwamba nusu ya maneno yale ni ya kweli.


Basi Wayuda wakaanza kubishana sana kati yao, wakasema: “Namna gani mutu huyu anaweza kutupatia mwili wake tuukule?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite