Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 1:43 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

43 Siku iliyofuata Yesu alitaka kwenda Galilaya. Alipomukuta Filipo akamwambia: “Unifuate.”

Gade chapit la Kopi




Yoane 1:43
19 Referans Kwoze  

Filipo akamwambia: “Bwana, utuonyeshe Baba, na ile itatutoshelea.”


Yesu alipokuwa akipita, akamwona mutu anayeitwa Matayo, akiikaa katika nyumba ya kulipishia kodi. Yesu akamwambia: “Unifuate!” Naye akasimama na kumufuata.


Yawe anasema; Nilikuwa tayari kujionyesha kwao wasiouliza habari zangu. Nilikuwa tayari kuwapokea wale wasionitafuta. Nililiambia taifa ambalo halikuomba kwa jina langu: Niko hapa! Niko hapa!


Basi wakamwendea Filipo wa kijiji cha Betesaida ya Galilaya na kumwambia: “Bwana, tunataka kuonana na Yesu.”


Sisi tuko na upendo kwa sababu Mungu ndiye aliyetupenda wa kwanza.


Wakati Yesu alipoinua macho, akaona kundi kubwa la watu wakimufikia. Halafu akamwuliza Filipo: “Wapi tunaweza kununua vyakula kwa kulisha watu hawa?”


Sitaki kusema kwamba nimekwisha kufikia mwisho au kwamba nimekwisha kuwa mukamilifu. Lakini ninakaza mwendo kusudi nipate kushinda na kupokea zawadi, kwa maana Yesu Kristo amekwisha kunipokea nikuwe wake.


Mambo hayo yalifanyika Betania, ngambo ya muto Yordani, pahali Yoane alipokuwa akibatiza.


Kwa maana Mwana wa Mutu alikuja kutafuta na kuokoa yule aliyepotea.”


kisha Filipo na Bartolomayo, Toma na Matayo aliyekuwa mulipishaji wa kodi; Yakobo mwana wa Alfayo, na Tadeo;


Filipo akamujibu: “Hata tukinunua mikate kwa bei ya vikoroti mia mbili vya feza, haitatosha kwa kumupa kila mutu hata kidogo tu.”


Kesho yake Yoane alikuwa pale tena pamoja na wawili kati ya wanafunzi wake.


Yesu aliposikia kwamba Yoane ametiwa katika kifungo, akaenda zake Galilaya.


Lakini Yesu akamujibu: “Unifuate mimi, uwaache hao wafu wazike wafu wao.”


Kesho yake Yoane akamwona Yesu akikuja kwake, akasema: “Angalia Mwana-Kondoo wa Mungu anayeondoa zambi ya dunia!


(Filipo alikuwa muzaliwa wa Betesaida, muji wa Andrea na Petro.)


Ni vile Yesu alivyofanya kitambulisho chake cha kwanza katika Kana ya Galilaya. Pale alionyesha utukufu wake na wanafunzi wake wakamwamini.


Wale wanafunzi wawili waliposikia maneno yale, wakamufuata Yesu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite