Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 1:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Yoane akawajibu: “Mimi ninabatiza kwa maji, lakini kati yenu kuna mutu ninyi musiyemujua,

Gade chapit la Kopi




Yoane 1:26
14 Referans Kwoze  

Kwa maana Yoane alibatiza kwa maji, lakini kisha siku chache, ninyi mutabatizwa kwa Roho Mutakatifu.”


Basi Yoane akawaambia wote: “Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yule atakayekuja nyuma yangu ni mwenye uwezo kunipita; nami sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mutakatifu na kwa moto.


Mimi nimewabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mutakatifu.”


Mimi ninawabatiza kwa maji kwa kuonyesha kwamba mumegeuka toka zambi zenu. Lakini yule atakayekuja nyuma yangu atawabatiza kwa Roho Mutakatifu na kwa moto. Yeye ni mwenye uwezo kunipita, nami sistahili hata kumuvua viatu.


Basi wakamwuliza: “Baba yako yuko wapi?” Yesu akajibu: “Hamunijui mimi wala hamumujui Baba yangu. Kama mungenijua mimi, mungemujua Baba yangu vilevile.”


Muangalie namna Baba alivyoonyesha upendo wake kwetu hata tupate kuitwa watoto wa Mungu! Na kwa hakika sisi ndio wao! Ndiyo maana watu wa dunia hawatutambui, kwa sababu hawakumujua Mungu.


Halafu nikakumbuka maneno haya Bwana aliyosema: ‘Yoane amebatiza kwa maji, lakini ninyi mutabatizwa kwa Roho Mutakatifu.’


Baba mwenye haki, ijapokuwa dunia haikujui, mimi ninakujua na hawa wanajua kwamba ulinituma.


Nao uzima wa milele ni kukujua wewe unayekuwa peke yako Mungu wa kweli na Yesu Kristo uliyemutuma.


Watafanya hivi kwa sababu hawakumujua Baba wala mimi.


Waliungama zambi zao, naye Yoane aliwabatiza katika muto Yordani.


Paulo akawaambia: “Yoane aliwabatiza wale waliogeuka toka zambi zao na kuwaambia Waisraeli kwamba wamwamini yule atakayekuja nyuma yake, naye ndiye Yesu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite