Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoane 1:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Nao wale waliotumwa walikuwa Wafarisayo.

Gade chapit la Kopi




Yoane 1:24
13 Referans Kwoze  

Yesu alipoondoka katika nyumba ya yule Mufarisayo, walimu wa Sheria na Wafarisayo wakaanza kumushambulia vikali sana na kumwuliza maneno mengi


Wakati Wafarisayo waliposikia maneno haya yote wakamuzarau Yesu, kwa sababu walikuwa wapenda feza.


Lakini Wafarisayo na walimu wakubwa wa Sheria walikataa mupango wa Mungu juu yao, na kukataa kubatizwa na Yoane.)


Wamenijua tangu zamani na kama wakitaka wanaweza kushuhudia kwamba nilikuwa mushiriki wa chama cha Wafarisayo, kinachotia mukazo sana juu ya kushika desturi za dini yetu.


(Ilitokea vile kwa maana Wasadukayo wanasema kwamba wafu hawatafufuka na kwamba hakuna wamalaika, wala roho; lakini Wafarisayo wanakubali mambo hayo yote.)


Wewe kipofu Mufarisayo! Safisha kwanza ndani ya kikombe na ya sahani, na kisha inje yake kutakuwa safi vilevile.


Yoane akajibu: “Mimi ni sauti inayotangaza katika jangwa: ‘Munyooshe njia ya Bwana,’ ” sawa vile nabii Isaya alivyosema.


Wakamwuliza Yoane: “Ikiwa wewe si Kristo, wala Elia, wala yule nabii, basi sababu gani unabatiza?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite