Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yeremia 1:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Tena lilimufikia Yeremia wakati Yoyakimu mwana wa Yosia, alipokuwa mufalme wa Yuda. Neno la Yawe liliendelea kumufikia mpaka mwisho wa mwaka wa kumi na mumoja wa utawala wa Zedekia, mwana wa Yosia, mufalme wa Yuda. Ni katika mwezi wa tano wa mwaka huo, ndio wakati watu wa Yerusalema walipelekwa katika uhamisho.

Gade chapit la Kopi




Yeremia 1:3
19 Referans Kwoze  

Na katika siku ya kenda ya mwezi wa ine, mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Zedekia, sehemu ya ukuta wa muji ilibomolewa.


Neko mufalme wa Misri akamuweka Eliakimu mwana wa mufalme Yosia kwa pahali pa baba yake Yosia, akabadilisha jina lake kuwa Yoyakimu. Lakini alimupeleka Yoahazi mbali. Naye akafika Misri na kukufia kule.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Siku za mafungo ya kula chakula ya mwezi wa ine, mwezi wa tano, mwezi wa saba na mwezi wa kumi, zitakuwa nyakati za furaha na shangwe; zitakuwa sikukuu za shangwe kwa watu wa Yuda. Basi, mupende ukweli na amani.


Uwaambie wakaaji wote wa inchi na makuhani hivi: Kwa muda wa miaka makumi saba iliyopita, ninyi mulikuwa mukifunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba. Munazani mulifunga kwa ajili yangu?


Yawe akamutolea Yeremia ujumbe huu wakati Nebukadneza, mufalme wa Babeli, pamoja na waaskari wake wote na falme zote za dunia zilizokuwa chini ya utawala wake, vilevile na watu wote walipokuwa wakiushambulia Yerusalema na miji mingine yote ya kandokando yake:


Wana wa Yosia walikuwa: Yohana, muzaliwa wake wa kwanza; wa pili Yoyakimu, wa tatu Zedekia na wa ine Salumu.


Nebukadneza akamuweka Matania, baba mudogo ya Yoyakini, kuwa mufalme kwa pahali pake, akalibadilisha jina lake kuwa Zedekia.


Neno la Yawe lilinifikia kusema hivi:


Yawe akamutolea Yeremia ujumbe huu wakati wa utawala wa Yoyakimu mwana wa Yosia, mufalme wa Yuda:


Twaa kizingo cha kitabu uandike humo maneno yote niliyokuambia juu ya Israeli, juu ya Yuda na mataifa yote, tangu siku nilipoanza kusema nawe, wakati Yosia alipokuwa mufalme mpaka leo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite